1 Wafalme 6:34 - Swahili Revised Union Version34 na milango miwili ya mberoshi; mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa za kukunjana, na mbao mbili za mlango wa pili za kukunjana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 na mabamba yake mawili yalikuwa ya miberoshi; kila bamba liliweza kukunjwa mara moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 na mabamba yake mawili yalikuwa ya miberoshi; kila bamba liliweza kukunjwa mara moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 na mabamba yake mawili yalikuwa ya miberoshi; kila bamba liliweza kukunjwa mara moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Pia akatengeneza milango miwili kwa mbao za msunobari, kila mmoja ukiwa na vipande viwili ambavyo vilikunjwa kwa bawaba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Kulikuwa na milango miwili iliyoweza kukunjuka iliyotengenezwa kwa mbao za msunobari na kila mmoja ulikuwa na bawaba ambazo zingeuwezesha kujikunja kila kipande juu ya kingine. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 na milango miwili ya mberoshi; mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa za kukunjana, na mbao mbili za mlango wa pili za kukunjana. Tazama sura |