1 Wafalme 6:17 - Swahili Revised Union Version17 Nayo nyumba, ndiyo hekalu la mbele, ilikuwa mikono arubaini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Nyumba ile iliyokuwa mbele ya mahali patakatifu sana, ilikuwa na urefu wa mita 18. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Nyumba ile iliyokuwa mbele ya mahali patakatifu sana, ilikuwa na urefu wa mita 18. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Nyumba ile iliyokuwa mbele ya mahali patakatifu sana, ilikuwa na urefu wa mita 18. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ukumbi mkuu uliokuwa mbele ya chumba hiki ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ukumbi mkubwa uliokuwa mbele ya chumba hiki ndio ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini. Tazama sura |