Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 6:14 - Swahili Revised Union Version

14 Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Basi Sulemani akajenga Hekalu na kulikamilisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Basi Sulemani akajenga Hekalu na kulikamilisha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 6:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, kulingana na kanuni zote. Basi muda wa miaka saba alikuwa katika kuijenga.


Basi ndivyo alivyoijenga nyumba, akaimaliza; akaifunika nyumba kwa boriti na mbao za mwerezi.


Hivyo kazi yote aliyoifanya mfalme Sulemani katika nyumba ya BWANA ikamalizika. Sulemani akaviingiza vile vitu alivyovitakasa Daudi baba yake, yaani, fedha, na dhahabu, na vyombo; akavitia ndani ya hazina za nyumba ya BWANA.


Na mara tatu kila mwaka Sulemani alikuwa akitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu aliyomjengea BWANA akafukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu iliyokuwako mbele za BWANA. Hivyo akaimaliza nyumba.


Akausimamisha ukuta wa ua kuizunguka maskani na madhabahu, akalitundika pazia la mlango wa ule ua. Basi Musa akaimaliza hiyo kazi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo