Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 4:8 - Swahili Revised Union Version

8 Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 4:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Sulemani alikuwa na maafisa tawala kumi na wawili juu ya Israeli wote, walioleta chakula cha mfalme na nyumba yake; kila mtu alikuwa na mwezi mmoja katika mwaka kuleta chakula.


kulingana na ile amri ya BWANA wakampa mji alioutaka, maana, ni Timnath-sera katika nchi ya vilima ya Efraimu; naye akaujenga huo mji na kukaa mumo.


Huyo Eleazari mwana wa Haruni naye akafa; wakamzika Gibea, mji wa Finehasi mwanawe, ambao alipewa katika nchi ya vilima ya Efraimu.


Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, aliyeitwa Mika.


Ikawa katika siku hizo, kulipokuwa hakuna mfalme katika Israeli, alikuwapo Mlawi mmoja aliyekuwa akikaa kama mgeni upande wa mbele wa nchi ya vilima vilima ya Efraimu, aliyejitwalia suria katika Bethlehemu-yuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo