1 Wafalme 4:6 - Swahili Revised Union Version6 Na Ahishari alikuwa mkuu wa kasri; na Adoramu mwana wa Abda alikuwa msimamizi wa shokoa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Ahishari alikuwa mkuu wa ikulu na Adoniramu mwana wa Abda, alikuwa msimamizi wa kazi za kulazimishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Ahishari alikuwa mkuu wa ikulu na Adoniramu mwana wa Abda, alikuwa msimamizi wa kazi za kulazimishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Ahishari alikuwa mkuu wa ikulu na Adoniramu mwana wa Abda, alikuwa msimamizi wa kazi za kulazimishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Na Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba ya mfalme; na Adoramu mwana wa Abda alikuwa msimamizi wa shokoa. Tazama sura |