1 Wafalme 4:28 - Swahili Revised Union Version28 Shayiri pia na majani kwa farasi, na kwa wanyama wenye mbio, wakaleta mahali walipokuwapo, kila mtu kwa kadiri ya kazi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Zamu ya kila mmoja ilipofika, alipeleka pia shayiri na majani ya kulisha farasi na wanyama waendao kasi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Zamu ya kila mmoja ilipofika, alipeleka pia shayiri na majani ya kulisha farasi na wanyama waendao kasi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Zamu ya kila mmoja ilipofika, alipeleka pia shayiri na majani ya kulisha farasi na wanyama waendao kasi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Pia walileta kiasi walichopangiwa cha shayiri na majani kwa ajili ya farasi wa magari ya vita na farasi wengine mahali palipostahili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili. Tazama sura |