Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 3:19 - Swahili Revised Union Version

19 Na mtoto wa mwanamke huyu akafa usiku, maana alimlalia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Wakati wa usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Na mtoto wa mwanamke huyu akafa usiku, maana alimlalia.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 3:19
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha, siku ya tatu baada ya kuzaa kwangu, ikawa mwanamke huyu naye akazaa; na sisi tulikuwa pamoja; hapakuwa na mtu mwingine pamoja nasi nyumbani, isipokuwa sisi wawili tu.


Akaondoka kati ya usiku, akamwondoa mtoto wangu ubavuni pangu, mimi mjakazi wako nilipokuwa usingizini, akamweka kifuani pake, na mtoto wake mwenyewe, aliyekuwa amekufa, akamweka kifuani pangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo