Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 3:10 - Swahili Revised Union Version

10 Neno hili likawa jema machoni pa Bwana, ya kuwa Sulemani ameomba neno hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Ombi hili la Solomoni lilimfurahisha Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Bwana akapendezwa kwamba Sulemani ameliomba jambo hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Bwana akapendezwa kwamba Sulemani ameliomba jambo hili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Neno hili likawa jema machoni pa Bwana, ya kuwa Sulemani ameomba neno hili.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 3:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali umejitakia akili za kujua kuhukumu;


Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu watu hawa wako walio wengi?


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Yeye hubadili majira na nyakati; hutengua na kuteua wafalme; huwapa hekima wenye hekima; huwapa wenye ufahamu maarifa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo