Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 22:7 - Swahili Revised Union Version

7 Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hayupo hapa nabii mwingine wa BWANA, ili tumwulize yeye?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini, Yehoshafati akasema, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini, Yehoshafati akasema, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini, Yehoshafati akasema, “Je, hapa hakuna nabii mwingine wa Mwenyezi-Mungu ambaye twaweza kumwuliza shauri?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa Mwenyezi Mungu hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa bwana hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hayupo hapa nabii mwingine wa BWANA, ili tumwulize yeye?

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 22:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.


waendao kuteremkia Misri wala hawakuuliza kinywani mwangu; ili wajitie nguvu kwa nguvu za Farao, na kutumainia kivuli cha Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo