1 Wafalme 22:43 - Swahili Revised Union Version43 Akaiendea njia yote ya Asa babaye; wala hakugeuka, akifanya yaliyo mema machoni pa BWANA. Lakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu wakafukiza uvumba katika mahali pa juu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya baba yake Asa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya baba yake Asa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama alivyofanya baba yake Asa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Katika kila jambo alitembea katika njia za Asa baba yake wala hakuenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu. Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Katika kila jambo alitembea katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa bwana. Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI43 Akaiendea njia yote ya Asa babaye; wala hakugeuka, akifanya yaliyo mema machoni pa BWANA. Lakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu wakafukiza uvumba katika mahali pa juu. Tazama sura |
Naye Asa akamlilia BWANA, Mungu wake, akasema, BWANA, hapana kuliko wewe aliye wa kusaidia, kati yake yeye aliye hodari, na yeye asiye na nguvu; utusaidie, Ee BWANA, Mungu wetu; kwa kuwa sisi twakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja juu ya jamii kubwa hii. Ee BWANA, wewe ndiwe Mungu wetu, asikushinde mwanadamu.