Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 21:14 - Swahili Revised Union Version

14 Wakampelekea Yezebeli habari, wakasema, Nabothi amepigwa kwa mawe, amekufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kisha, Yezebeli akapelekewa habari kwamba Nabothi amekwisha uawa kwa kupigwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kisha, Yezebeli akapelekewa habari kwamba Nabothi amekwisha uawa kwa kupigwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kisha, Yezebeli akapelekewa habari kwamba Nabothi amekwisha uawa kwa kupigwa mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kisha wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi amepigwa mawe na amekufa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kisha wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi amepigwa mawe na amekufa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Wakampelekea Yezebeli habari, wakasema, Nabothi amepigwa kwa mawe, amekufa.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 21:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.


Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hayuko hai, lakini amekufa.


Akaja mjumbe, akamwambia, akasema, Wamevileta vile vichwa vya wana wa mfalme. Akasema, Viwekeni marundo mawili penye maingilio ya lango hata asubuhi.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Kuna ubatili unaofanyika juu ya nchi, kwamba wako wenye haki nao wapatilizwa kama kwa kazi yao waovu; tena wako waovu, nao wapatilizwa kama kwa kazi yao wenye haki. Nami nikasema ya kuwa hayo nayo ni ubatili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo