Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 20:43 - Swahili Revised Union Version

43 Mfalme wa Israeli akaenda nyumbani kwake na moyo mzito, mwenye hasira, akaja Samaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake huko Samaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 20:43
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu katika Yezreeli, karibu na nyumba ya kifalme ya Ahabu mfalme wa Samaria.


Basi Ahabu akaenda nyumbani kwake, ana moyo mzito, tena amekasirika, kwa sababu ya neno lile aliloambiwa na Nabothi Myezreeli, akisema, Sitakupa urithi wa baba zangu. Akajilaza kitandani pake, akageuza uso wake, akakataa kula.


Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.


Bali haya yote yanifaa nini, niendeleapo kumwona yule Mordekai, Myahudi, ameketi mlangoni pa mfalme?


Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo