1 Wafalme 20:43 - Swahili Revised Union Version43 Mfalme wa Israeli akaenda nyumbani kwake na moyo mzito, mwenye hasira, akaja Samaria. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Basi, mfalme wa Israeli akaenda zake nyumbani Samaria, amejaa chuki na huzuni nyingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake huko Samaria. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria. Tazama sura |