Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 20:3 - Swahili Revised Union Version

3 Fedha yako na dhahabu yako ni zangu mimi; na wakezo na wanao, walio wema, ni wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 ‘Fedha na dhahabu yako yote ni mali yangu; wake zako warembo na watoto wako pia ni wangu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 ‘Fedha na dhahabu yako yote ni mali yangu; wake zako warembo na watoto wako pia ni wangu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 ‘Fedha na dhahabu yako yote ni mali yangu; wake zako warembo na watoto wako pia ni wangu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 ‘Fedha yako na dhahabu yako ni vyangu; nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 ‘Fedha yako na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Fedha yako na dhahabu yako ni zangu mimi; na wakezo na wanao, walio wema, ni wangu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 20:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akatuma wajumbe kwa Ahabu mfalme wa Israeli, mjini, akamwambia, Ndivyo asemavyo Ben-hadadi.


Basi wakajifungia magunia viunoni, na kamba vichwani, wakamjia mfalme wa Israeli, wakasema, Mtumwa wako Ben-hadadi asema, Roho yangu, nakusihi, iishi. Akasema, Je! Yu hai bado? Ni ndugu yangu yeye.


Mfalme wa Israeli akajibu, akasema, Ni kama ulivyosema, bwana wangu, mfalme; mimi ni wako, na vyote nilivyo navyo.


Adui akasema, Nitafuata, nitapata, nitagawanya nyara, Nafsi yangu itashibishwa na wao; Nitaufuta upanga wangu, mkono wangu utawaangamiza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo