1 Wafalme 17:21 - Swahili Revised Union Version21 Akajinyosha juu ya mtoto mara tatu, akamwomba BWANA, akanena, Ee BWANA, Mungu wangu, nakusihi, roho ya mtoto huyu imrudie ndani yake tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Kisha Elia akajinyosha juu ya mtoto huyo mara tatu na kumwomba Mwenyezi-Mungu, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, mrudishie mtoto huyu roho yake!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Kisha Elia akajinyosha juu ya mtoto huyo mara tatu na kumwomba Mwenyezi-Mungu, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, mrudishie mtoto huyu roho yake!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Kisha Elia akajinyosha juu ya mtoto huyo mara tatu na kumwomba Mwenyezi-Mungu, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, mrudishie mtoto huyu roho yake!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kisha akajinyoosha juu ya kijana mara tatu na kumlilia Mwenyezi Mungu, akisema, “Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, nakuomba roho ya huyu kijana imrudie!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kisha akajinyoosha juu ya kijana mara tatu na kumlilia bwana, akisema, “Ee bwana Mwenyezi Mungu wangu, nakuomba roho ya huyu kijana imrudie!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Akajinyosha juu ya mtoto mara tatu, akamwomba BWANA, akanena, Ee BWANA, Mungu wangu, nakusihi, roho ya mtoto huyu imrudie ndani yake tena. Tazama sura |