1 Wafalme 16:30 - Swahili Revised Union Version30 Ahabu mwana wa Omri akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA kuliko wote waliomtangulia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Ahabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kuliko wafalme wote waliomtangulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Ahabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kuliko wafalme wote waliomtangulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Ahabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kuliko wafalme wote waliomtangulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni pa Mwenyezi Mungu kuliko yeyote aliyemtangulia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa bwana kuliko yeyote aliyewatangulia. Tazama sura |