Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 16:25 - Swahili Revised Union Version

25 Omri akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, akatenda maovu kuliko wote waliomtangulia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Omri alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; alifanya maovu zaidi ya wale wote waliomtangulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Omri alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; alifanya maovu zaidi ya wale wote waliomtangulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Omri alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; alifanya maovu zaidi ya wale wote waliomtangulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini Omri akatenda maovu machoni pa Mwenyezi Mungu na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini Omri akatenda maovu machoni pa bwana na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Omri akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, akatenda maovu kuliko wote waliomtangulia;

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 16:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

lakini umekosa kuliko wote waliokutangulia, umekwenda kujifanyia miungu mingine, na sanamu zilizoyeyuka, unikasirishe, na kunitupa nyuma yako;


Ahabu akaifanya Ashera; Ahabu akazidi kumghadhibisha BWANA, Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.


(Lakini hapakuwa na mtu kama Ahabu, aliyejiuza atende maovu machoni pa BWANA ambaye Yezebeli mkewe alimchochea.


Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, ila si kama wafalme wa Israeli waliomtangulia.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo