Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 16:17 - Swahili Revised Union Version

17 Omri akapanda kutoka Gibethoni, na Israeli wote pamoja naye, wakauhusuru Tirza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Omri na majeshi yake akaondoka Gibethoni, akaenda na kuuzingira mji wa Tirza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Omri na majeshi yake akaondoka Gibethoni, akaenda na kuuzingira mji wa Tirza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Omri na majeshi yake akaondoka Gibethoni, akaenda na kuuzingira mji wa Tirza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 16:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao watu waliokuwako kambini wakasikia habari ya kwamba Zimri amekula njama, tena amemwua mfalme; kwa hiyo Israeli wote wakamfanya Omri, jemadari wa jeshi, awe mfalme juu ya Israeli siku ile kambini.


Ikawa Zimri alipoona ya kuwa mji umetwaliwa, akaingia ngomeni mwa nyumba ya mfalme, akaiteketeza nyumba ya mfalme juu yake kwa moto, akafa;


Abimeleki akapigana na huo mji mchana kutwa; akautwaa mji, akawaua watu waliokuwamo ndani yake; kisha akauteketeza mji, na kuutia chumvi.


Ndipo Abimeleki alipokwenda Thebesi, akauzingira na kuutwaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo