1 Wafalme 16:12 - Swahili Revised Union Version12 Hivyo Zimri akaiharibu nyumba yote ya Baasha, sawasawa na neno la BWANA, alilolinena juu ya Baasha kwa Yehu nabii, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu dhidi ya Baasha, kwa njia ya nabii Yehu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu dhidi ya Baasha, kwa njia ya nabii Yehu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 ikawa kama alivyosema Mwenyezi-Mungu dhidi ya Baasha, kwa njia ya nabii Yehu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Hivyo, Zimri akawaangamiza jamaa yote ya Baasha, kama Mwenyezi Mungu alivyonena dhidi ya Baasha kupitia kwa nabii Yehu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la bwana lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Hivyo Zimri akaiharibu nyumba yote ya Baasha, sawasawa na neno la BWANA, alilolinena juu ya Baasha kwa Yehu nabii, Tazama sura |