1 Wafalme 15:26 - Swahili Revised Union Version26 Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, akaiendea njia ya baba yake, na kosa lake alilowakosesha Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Nadabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; akamwiga baba yake ambaye aliwafanya watu wa Israeli watende dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Nadabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; akamwiga baba yake ambaye aliwafanya watu wa Israeli watende dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Nadabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; akamwiga baba yake ambaye aliwafanya watu wa Israeli watende dhambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Akafanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, aliyoisababisha Israeli kutenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Akafanya maovu machoni pa bwana, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya. Tazama sura |