1 Wafalme 13:23 - Swahili Revised Union Version23 Basi ikawa, alipokwisha kula chakula na kunywa maji, yule nabii aliyemrudisha akamtandikia punda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Walipomaliza kula, huyo nabii mzee akamtandikia punda huyo mtu wa Mungu, naye akaondoka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Walipomaliza kula, huyo nabii mzee akamtandikia punda huyo mtu wa Mungu, naye akaondoka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Walipomaliza kula, huyo nabii mzee akamtandikia punda huyo mtu wa Mungu, naye akaondoka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Huyo mtu wa Mungu alipomaliza kula na kunywa, nabii aliyekuwa amemrudisha akamtandikia punda wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Wakati huyo mtu wa Mungu alipomaliza kula na kunywa, nabii aliyekuwa amemrudisha akamtandikia punda wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Basi ikawa, alipokwisha kula chakula na kunywa maji, yule nabii aliyemrudisha akamtandikia punda. Tazama sura |