1 Wafalme 13:17 - Swahili Revised Union Version17 kwani nimeambiwa kwa neno la BWANA, Usile chakula wala usinywe maji huko, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 maana, Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji mahali hapa, wala nisirudi kwa njia niliyoijia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 maana, Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji mahali hapa, wala nisirudi kwa njia niliyoijia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 maana, Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji mahali hapa, wala nisirudi kwa njia niliyoijia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Nimeambiwa kwa neno la Mwenyezi Mungu: ‘Kamwe usile mkate au kunywa maji huko au kurudia njia uliyojia.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Nimeambiwa kwa neno la bwana: ‘Kamwe usile mkate au kunywa maji huko au kurudia njia uliyojia.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 kwani nimeambiwa kwa neno la BWANA, Usile chakula wala usinywe maji huko, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia. Tazama sura |