Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 12:7 - Swahili Revised Union Version

7 Wakamwambia wakasema, Ukikubali kuwa mtumishi wa watu hawa leo, na kuwatumikia, na kuwajibu, na kuwapa maneno mazuri, basi watakuwa watumishi wako daima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Wazee hao wakamjibu, “Leo ukiwa mtumishi wa watu hawa, ukawatumikia na kuongea nao vizuri unapowajibu, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Wazee hao wakamjibu, “Leo ukiwa mtumishi wa watu hawa, ukawatumikia na kuongea nao vizuri unapowajibu, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Wazee hao wakamjibu, “Leo ukiwa mtumishi wa watu hawa, ukawatumikia na kuongea nao vizuri unapowajibu, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Wakamwambia wakasema, Ukikubali kuwa mtumishi wa watu hawa leo, na kuwatumikia, na kuwajibu, na kuwapa maneno mazuri, basi watakuwa watumishi wako daima.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 12:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akawajibu watu wale kwa ukali, akaliacha shauri lile wazee walilompa;


Lakini akaliacha shauri lile la wazee, walilompa, akataka shauri kwa wale vijana waliokua pamoja naye, na kusimama mbele yake.


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.


Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye faraja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo