1 Wafalme 12:30 - Swahili Revised Union Version30 Jambo hili likawa dhambi, maana watu walikwenda kuabudu mbele ya kila mmoja, hata huko Dani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Tendo hili likawa dhambi, maana watu waliandamana kwenda kuzitambikia sanamu hizo huko Betheli na Dani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Tendo hili likawa dhambi, maana watu waliandamana kwenda kuzitambikia sanamu hizo huko Betheli na Dani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Tendo hili likawa dhambi, maana watu waliandamana kwenda kuzitambikia sanamu hizo huko Betheli na Dani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Nalo jambo hili likawa dhambi, watu wakawa wanaenda hadi Dani kumwabudu huyo aliyewekwa huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Nalo jambo hili likawa dhambi, watu wakawa wanaenda hadi Dani kumwabudu huyo aliyewekwa huko. Tazama sura |