Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 12:19 - Swahili Revised Union Version

19 Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi hata leo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hivyo watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya uasi dhidi ya ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hivyo watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya uasi dhidi ya ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hivyo watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya uasi dhidi ya ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hivyo, Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi hata leo.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 12:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sitauondoa ufalme wote pia; nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu niliouchagua.


Maana aliwatenga mbali Israeli na nyumba ya Daudi; nao wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme; Yeroboamu akawavuta Israeli wasimfuate BWANA, akawakosesha kosa kubwa.


Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi, hata leo.


Abiya na watu wake wakawapiga mapigo makuu; hata wakaanguka wameuawa wa Israeli elfu mia tano, watu wateule.


BWANA ataleta juu yako, na juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako, siku zisizokuja bado, tangu siku ile aliyoondoka Efraimu kutoka katika Yuda; yaani, mfalme wa Ashuru.


Na wewe mwanadamu, twaa kijiti kimoja; ukaandike juu yake, Kwa Yuda, na kwa wana wa Israeli wenzake; kisha, twaa kijiti cha pili; ukaandike juu yake, Kwa Yusufu, kijiti cha Efraimu, na kwa nyumba yote ya Israeli wenzake;


wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumtweza hadharani kwa dhahiri.


Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani, mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la Agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.


lakini leo mmemkataa Mungu wenu, naye ndiye awaponyaye katika misiba yenu yote na shida zenu; nanyi mmemwambia, Sivyo, lakini weka mfalme juu yetu. Basi, sasa, njoni mbele za BWANA, kwa makabila yenu na kwa maelfu yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo