Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi, Yeroboamu na watu wote wakamfikia Rehoboamu siku ya tatu, kama mfalme alivyoamuru, akisema, Mnirudie siku ya tatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, siku ya tatu Yeroboamu pamoja na watu wote wakarudi kwa Rehoboamu kama alivyokuwa amewaagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, siku ya tatu Yeroboamu pamoja na watu wote wakarudi kwa Rehoboamu kama alivyokuwa amewaagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, siku ya tatu Yeroboamu pamoja na watu wote wakarudi kwa Rehoboamu kama alivyokuwa amewaagiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi, Yeroboamu na watu wote wakamfikia Rehoboamu siku ya tatu, kama mfalme alivyoamuru, akisema, Mnirudie siku ya tatu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 12:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kama vile baba yangu alivyowatwika kongwa zito, mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, bali mimi nitawapigeni kwa nge.


Mfalme akawajibu watu wale kwa ukali, akaliacha shauri lile wazee walilompa;


Akawaambia, Nendeni zenu hata siku ya tatu, kisha mnirudie tena. Watu wakaenda zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo