Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 10:23 - Swahili Revised Union Version

23 Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hivyo, mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na hekima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mkubwa na mwenye hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mfalme Sulemani alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 10:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wote wa dunia.


Nikatafakari nikisema, Nimejipatia hekima nyingi kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; naam, moyo wangu umeona kwa wingi hekima na maarifa.


Basi nikawa mkuu, nikaongezeka kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; pia hekima yangu nikakaa nayo.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo