1 Wafalme 10:1 - Swahili Revised Union Version1 Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya jina la BWANA, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Malkia wa Sheba aliposikia sifa za Solomoni, kwa sababu ya jina la Mwenyezi-Mungu, alimwendea Solomoni ili kumjaribu kwa maswali magumu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Malkia wa Sheba aliposikia sifa za Solomoni, kwa sababu ya jina la Mwenyezi-Mungu, alimwendea Solomoni ili kumjaribu kwa maswali magumu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Malkia wa Sheba aliposikia sifa za Solomoni, kwa sababu ya jina la Mwenyezi-Mungu, alimwendea Solomoni ili kumjaribu kwa maswali magumu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Sulemani na uhusiano wake na jina la Mwenyezi Mungu, akaja kumjaribu kwa maswali magumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Sulemani na uhusiano wake na jina la bwana, akaja kumjaribu kwa maswali magumu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya jina la BWANA, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo. Tazama sura |