1 Wafalme 1:50 - Swahili Revised Union Version50 Adonia naye akaogopa mbele ya Sulemani; akaondoka, akaenda, akazishika pembe za madhabahu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Naye Adoniya, kwa kuwa alimwogopa Solomoni, akakimbilia katika hema la Mwenyezi-Mungu akazishika pembe za madhabahu apate kusalimika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Naye Adoniya, kwa kuwa alimwogopa Solomoni, akakimbilia katika hema la Mwenyezi-Mungu akazishika pembe za madhabahu apate kusalimika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Naye Adoniya, kwa kuwa alimwogopa Solomoni, akakimbilia katika hema la Mwenyezi-Mungu akazishika pembe za madhabahu apate kusalimika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Lakini Adoniya kwa kumwogopa Sulemani, akaenda na kushika pembe za madhabahu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Lakini Adoniya kwa kumwogopa Sulemani, akaenda na kushika pembe za madhabahu. Tazama sura |