1 Wafalme 1:36 - Swahili Revised Union Version36 Basi Benaya, mwana wa Yehoyada, akamjibu mfalme, akasema, Amina; BWANA, Mungu na bwana wangu mfalme, na aseme vivyo hivyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Ndipo Benaya mwana wa Yehoyada alipomjibu mfalme, “Amina! Bwana Mungu wa bwana wangu mfalme, na anene vivyo hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Ndipo Benaya mwana wa Yehoyada alipomjibu mfalme, “Amina! Bwana Mungu wa bwana wangu mfalme, na anene vivyo hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Ndipo Benaya mwana wa Yehoyada alipomjibu mfalme, “Amina! Bwana Mungu wa bwana wangu mfalme, na anene vivyo hivyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, “Amen! Mwenyezi Mungu, Mungu wa bwana wangu mfalme, na aamuru vivyo hivyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, “Amen! bwana, Mungu wa bwana wangu mfalme, na aseme vivyo hivyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI36 Basi Benaya, mwana wa Yehoyada, akamjibu mfalme, akasema, Amina; BWANA, Mungu na bwana wangu mfalme, na aseme vivyo hivyo. Tazama sura |