Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 1:28 - Swahili Revised Union Version

28 Ndipo mfalme Daudi akajibu, akasema, Niitieni Bathsheba. Basi akaingia ndani kwa mfalme, akasimama mbele ya mfalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Naye mfalme Daudi akajibu, “Niitie Bathsheba.” Bathsheba alimwendea mfalme na kusimama mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Naye mfalme Daudi akajibu, “Niitie Bathsheba.” Bathsheba alimwendea mfalme na kusimama mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Naye mfalme Daudi akajibu, “Niitie Bathsheba.” Bathsheba alimwendea mfalme na kusimama mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ndipo Mfalme Daudi akasema, “Mwite Bathsheba, aingie ndani.” Hivyo akaingia mbele ya mfalme na kusimama mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ndipo Mfalme Daudi akasema, “Mwite Bathsheba, aingie ndani.” Hivyo akaingia mbele ya mfalme na kusimama mbele yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Ndipo mfalme Daudi akajibu, akasema, Niitieni Bathsheba. Basi akaingia ndani kwa mfalme, akasimama mbele ya mfalme.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Bwana wangu mfalme ndiye aliyelitenda jambo hili, bila kutujulisha sisi watumishi wako ni nani atakayeketi katika kiti cha enzi cha bwana wangu mfalme baada yake?


Naye mfalme akaapa, akasema, BWANA aishivyo, aliyenikomboa roho yangu katika shida zote,


Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo