Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 1:16 - Swahili Revised Union Version

16 Bathsheba akainama, akamsujudia mfalme. Naye mfalme akamwuliza, Wataka nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Bathsheba aliinama, akamsujudia mfalme, naye mfalme akamwuliza, “Unataka nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Bathsheba aliinama, akamsujudia mfalme, naye mfalme akamwuliza, “Unataka nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Bathsheba aliinama, akamsujudia mfalme, naye mfalme akamwuliza, “Unataka nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Bathsheba akainama na kusujudu, uso wake ukagusa chini mbele ya mfalme. Mfalme akauliza, “Ni nini unachokitaka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Bathsheba akasujudu na kupiga magoti mbele ya mfalme. Mfalme akauliza, “Ni nini hiki unachotaka?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Bathsheba akainama, akamsujudia mfalme. Naye mfalme akamwuliza, Wataka nini?

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Bathsheba akaingia ndani kwa mfalme, ndani ya chumba chake; naye mfalme alikuwa mzee sana; na Abishagi, Mshunami, alikuwa akimtumikia mfalme.


Akamwambia, Bwana wangu, uliniapia mimi mjakazi wako kwa BWANA, Mungu wako, ya kwamba, bila shaka Sulemani mwanao atamiliki baada yangu, yeye ndiye atakayeketi katika kiti changu cha enzi.


Wakamwambia mfalme wakasema, Tazama, Nathani, nabii. Naye alipoingia ndani mbele ya mfalme, akamsujudia kifudifudi.


Ndipo akasema, Haja moja ndogo nakuomba; usinikatalie. Mfalme akamwambia, Omba, mama; kwa kuwa siwezi kukukatalia neno.


Mfalme akamwambia Esta tena siku ya pili pale pale penye karamu ya divai, Malkia Esta, dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Akamwambia, Wataka nini? Akamwambia, Agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako.


Yesu akasimama, akawaita, akasema, Mnataka niwafanyie nini?


Basi mara alipokuwa amekwisha ondoka yule mtoto, mara Daudi akatoka mahali pale karibu na kile kichuguu, akaanguka kifudifudi, akajiinama mara tatu; nao wakabusiana, wakaliliana, hata Daudi akazidi.


Daudi naye akainuka baadaye, akatoka pangoni, akamwita Sauli, akisema, Bwana wangu, mfalme. Na Sauli alipotazama nyuma, Daudi akainama uso wake hadi chini, akamsujudia.


Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifudifudi, akainama mpaka chini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo