1 Timotheo 6:14 - Swahili Revised Union Version14 kwamba uilinde amri hii pasipo mawaa, pasipo lawama, hata kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 uishike amri hii bila dosari wala lawama hadi kufunuliwa kwake Bwana wetu Isa Al-Masihi; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Isa Al-Masihi, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 kwamba uilinde amri hii pasipo mawaa, pasipo lawama, hata kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo; Tazama sura |