Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 5:20 - Swahili Revised Union Version

20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Usimchukie ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani yako, au ulipizwe uovu kwa ajili yake


Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wagiriki waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa.


Hofu nyingi ikalipata kanisa lote na watu wote walioyasikia haya.


Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Hofu nyingi ikawapata watu wote walioyasikia haya.


Maana, angalieni, kuhuzunishwa kuko huko kwa jinsi ya Mungu kulitenda bidii gani ndani yenu; naam, na kujitetea, naam, na kukasirika, naam, na hofu, naam, na shauku, naam, na kujitahidi, naam, na kisasi! Kwa kila njia mmejionesha wenyewe kuwa safi katika jambo hilo.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.


Na hao watu wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena kwa kujikinai.


Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.


Wanaume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako; na Israeli wote watasikia na kuogopa.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Ushuhuda huo ni kweli. Kwa sababu hiyo uwakemee kwa ukali, ili wapate kuwa wazima katika imani;


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo