1 Timotheo 3:3 - Swahili Revised Union Version3 asiwe mtu wa kulewa, asiye dhalimu; bali awe mpole; asiwe mbishi, wala asiwe mwenye kupenda fedha; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 asiwe mtu wa kulewa, asiye dhalimu; bali awe mpole; asiwe mbishi, wala asiwe mwenye kupenda fedha; Tazama sura |