Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 4:14 - Swahili Revised Union Version

14 Naye Eli aliposikia kelele za kile kilio, akasema, Maana yake nini kelele za kishindo hiki? Yule mtu akafanya haraka, akaenda, akamwambia Eli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Eli akasikia kelele za kilio, naye akauliza, “Ni nini maana ya makelele haya?” Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Eli akasikia kelele za kilio, naye akauliza, “Ni nini maana ya makelele haya?” Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Naye Eli aliposikia kelele za kile kilio, akasema, Maana yake nini kelele za kishindo hiki? Yule mtu akafanya haraka, akaenda, akamwambia Eli.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 4:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ukaaye Aroeri, Simama kando ya njia upeleleze; Mwulize mwanamume akimbiaye na mwanamke atorokaye, Sema, Imetendeka nini?


Alipofika, tazama, Eli alikuwa ameketi kitini pake kando ya njia, akingojea; maana moyo wake ulitetemeka kwa ajili ya sanduku la Mungu. Na yule mtu alipoingia mjini, akatoa habari, mji wote ukalia.


Basi Eli umri wake umepata miaka tisini na minane; na macho yake yamepofuka hata asiweze kuona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo