1 Samueli 4:11 - Swahili Revised Union Version11 Hilo sanduku la Mungu likatwaliwa; na Hofni na Finehasi, wale wana wawili wa Eli, wakauawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Sanduku la agano la Mungu lilitekwa, na wale watoto wawili wa kiume wa Eli, Hofni na Finehasi, wakauawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Sanduku la agano la Mungu lilitekwa, na wale watoto wawili wa kiume wa Eli, Hofni na Finehasi, wakauawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Sanduku la agano la Mungu lilitekwa, na wale watoto wawili wa kiume wa Eli, Hofni na Finehasi, wakauawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Sanduku la Mungu likatekwa, na hao wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakauawa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Sanduku la Mungu likatekwa, na hao wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakauawa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Hilo sanduku la Mungu likatwaliwa; na Hofni na Finehasi, wale wana wawili wa Eli, wakauawa. Tazama sura |