1 Samueli 30:8 - Swahili Revised Union Version8 Daudi akauliza kwa BWANA, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonya wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Daudi akamwomba Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, genge hili nilifuate? Na je nitalikamata?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Lifuate kwani utalipata na kuwaokoa hao waliotekwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Daudi akamwomba Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, genge hili nilifuate? Na je nitalikamata?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Lifuate kwani utalipata na kuwaokoa hao waliotekwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Daudi akamwomba Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, genge hili nilifuate? Na je nitalikamata?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Lifuate kwani utalipata na kuwaokoa hao waliotekwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 naye Daudi akamuuliza Mwenyezi Mungu, “Je, nifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawapata?” Mwenyezi Mungu akajibu, “Wafuatie. Hakika utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 naye Daudi akamuuliza bwana, “Je, nifuatie kundi hili la wavamizi? Je, nitawapata?” bwana akajibu, “Wafuatie. Hakika utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Daudi akauliza kwa BWANA, akasema, Je! Nikiwafuata jeshi hili, nitawapata? Naye akamjibu, Fuata; kwa kuwa hakika utawapata, nawe hukosi utawapokonya wote. Tazama sura |