Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 30:27 - Swahili Revised Union Version

27 yaani, kwa hao wa Betheli, na kwa hao wa Ramoth-Negebu, na kwa hao wa Yatiri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Zawadi hizo zilikuwa kwa ajili ya wakazi wa Betheli, wakazi wa Ramothi katika Negebu, wakazi wa Yatiri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Zawadi hizo zilikuwa kwa ajili ya wakazi wa Betheli, wakazi wa Ramothi katika Negebu, wakazi wa Yatiri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Zawadi hizo zilikuwa kwa ajili ya wakazi wa Betheli, wakazi wa Ramothi katika Negebu, wakazi wa Yatiri,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 yaani, kwa hao wa Betheli, na kwa hao wa Ramoth-Negebu, na kwa hao wa Yatiri;

Tazama sura Nakili




1 Samueli 30:27
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.


Akamweka mmoja katika Betheli, na wa pili akamweka katika Dani.


Na katika nchi ya vilima, Shamiri, Yatiri, Soko;


Sehemu waliopewa wana wa Yusufu ilianza kutoka mto wa Yordani hapo Yeriko, hapo penye maji ya Yeriko upande wa mashariki, maana, ni hiyo nyika, kukwea kutoka Yeriko kati ya hiyo nchi ya vilima mpaka Betheli;


kisha ikatoka huko Betheli kwendelea Luzu, kisha ikaendelea hata kuufikia mpaka wa Waarki mpaka Atarothi;


tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kotekote mpaka Baalath-beeri, Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila la wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao.


na Yatiri pamoja na mbuga zake za malisho, na Eshtemoa pamoja na mbuga zake za malisho;


Kisha Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko mpaka mji wa Ai, ulio karibu na Beth-aveni, upande wa mashariki wa Betheli, akawaambia, akisema, Pandeni juu mkaipeleleze nchi, basi wakapanda juu wakaupeleleza Ai.


Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hadi hapo watakapootea, wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo