1 Samueli 25:9 - Swahili Revised Union Version9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali kama walivyoambiwa na Daudi, kisha wakanyamaza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wale vijana wa Daudi walikwenda na kumwambia Nabali kama walivyoagizwa na Daudi. Halafu wakasubiri kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wale vijana wa Daudi walikwenda na kumwambia Nabali kama walivyoagizwa na Daudi. Halafu wakasubiri kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wale vijana wa Daudi walikwenda na kumwambia Nabali kama walivyoagizwa na Daudi. Halafu wakasubiri kidogo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha wakangojea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha wakangojea. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali kama walivyoambiwa na Daudi, kisha wakanyamaza. Tazama sura |