1 Samueli 25:42 - Swahili Revised Union Version42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 Abigaili alifanya haraka, akainuka na kupanda juu ya punda wake, akifuatana na watumishi wake wa kike watano, akaenda na watumishi wa Daudi; naye akawa mke wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 Abigaili alifanya haraka, akainuka na kupanda juu ya punda wake, akifuatana na watumishi wake wa kike watano, akaenda na watumishi wa Daudi; naye akawa mke wa Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 Abigaili alifanya haraka, akainuka na kupanda juu ya punda wake, akifuatana na watumishi wake wa kike watano, akaenda na watumishi wa Daudi; naye akawa mke wa Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 Abigaili akainuka kwa haraka, akapanda punda wake, akihudumiwa na wajakazi wake watano, akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, naye akawa mkewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 Abigaili akainuka kwa haraka, akapanda punda wake, akihudumiwa na wajakazi wake watano, akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, naye akawa mkewe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi wake watano waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe. Tazama sura |