1 Samueli 25:4 - Swahili Revised Union Version4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Basi, Daudi akiwa huko nyikani alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Basi, Daudi akiwa huko nyikani alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Basi, Daudi akiwa huko nyikani alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Daudi alipokuwa huko jangwani, akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo manyoya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Daudi alipokuwa huko jangwani, akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo manyoya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake. Tazama sura |