1 Samueli 25:32 - Swahili Revised Union Version32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Daudi akamwambia Abigaili, “Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo kukutana nami. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Daudi akamwambia Abigaili, “Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo kukutana nami. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Daudi akamwambia Abigaili, “Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekutuma leo kukutana nami. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, aliyekutuma kunilaki leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe bwana, Mungu wa Israeli aliyekutuma kunilaki leo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki; Tazama sura |