1 Samueli 25:16 - Swahili Revised Union Version16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwetu, walikuwa kama ukuta wa ulinzi usiku na mchana muda wote tulipokuwa tunawachunga kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwetu, walikuwa kama ukuta wa ulinzi usiku na mchana muda wote tulipokuwa tunawachunga kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwetu, walikuwa kama ukuta wa ulinzi usiku na mchana muda wote tulipokuwa tunawachunga kondoo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Usiku na mchana walikuwa ukuta wa ulinzi wakati wote tulipokuwa tukichunga kondoo wetu karibu nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Usiku na mchana walikuwa ukuta wakituzunguka wakati wote tulipokuwa tukichunga kondoo zetu karibu nao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo. Tazama sura |