Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 25:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 25:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Gadi akamwendea Daudi, akamweleza, akamwambia, Basi, miaka saba ya njaa ikujie katika nchi yako? Au miezi mitatu ukimbie mbele ya adui zako, huku wakikufuatia? Au siku tatu iwe tauni katika nchi yako? Amua sasa, ufikiri, ni jawabu gani nimrudishie yeye aliyenituma.


Watiini viongozi wenu, na kuwanyenyekea; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, ili kwamba wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa huzuni; maana haitawafaa ninyi.


Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao kondoo wangu manyoya, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?


Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wakiwa kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo