1 Samueli 25:12 - Swahili Revised Union Version12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi walivyojibiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia kama walivyoambiwa. Tazama sura |