1 Samueli 24:5 - Swahili Revised Union Version5 Lakini baadaye, moyo wake Daudi ukamchoma, kwa sababu amekata upindo wa vazi lake Sauli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Daudi akaanza kufadhaika moyoni kwa sababu alikata pindo la vazi la Shauli kwa siri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Daudi akaanza kufadhaika moyoni kwa sababu alikata pindo la vazi la Shauli kwa siri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Daudi akaanza kufadhaika moyoni kwa sababu alikata pindo la vazi la Shauli kwa siri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Baada ya hilo, dhamiri ya Daudi ikataabika kwa kukata upindo wa joho la Sauli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Baada ya hilo, dhamiri ya Daudi ikataabika kwa kukata upindo wa joho la Sauli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Lakini baadaye, moyo wake Daudi ukamchoma, kwa sababu amekata upindo wa vazi lake Sauli. Tazama sura |