Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 22:21 - Swahili Revised Union Version

21 Naye Abiathari akamweleza Daudi ya kwamba Sauli amewaua makuhani wa BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Abiathari akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Naye Abiathari akamweleza Daudi ya kwamba Sauli amewaua makuhani wa BWANA.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 22:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtu wako, ambaye sitamtenga na madhabahu yangu, atakuwa mtu wa kukupofusha macho, na kukuhuzunisha moyo; tena wazao wote wa nyumba yako watakufa watakapokuwa watu wazima.


Na katika wana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akaokoka mtu mmoja tu, aliyeitwa Abiathari, akamkimbilia Daudi.


Daudi akamwambia Abiathari, Siku ile alipokuwako Doegi, Mwedomi, nilijua hakika ya kuwa atamwambia Sauli; mimi nimewapatia watu wote wa jamaa ya baba yako kifo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo