1 Samueli 20:32 - Swahili Revised Union Version32 Yonathani akamjibu Sauli, baba yake, akamwambia, Auawe kwa sababu gani? Amefanya nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Yonathani akamjibu, “Kwa nini auawe? Amefanya nini?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Yonathani akamjibu, “Kwa nini auawe? Amefanya nini?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Yonathani akamjibu, “Kwa nini auawe? Amefanya nini?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Yonathani akamuuliza baba yake, “Kwa nini auawe? Kwani amefanya nini?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Yonathani akamuuliza baba yake, “Kwa nini auawe? Kwani amefanya nini?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Yonathani akamjibu Sauli, baba yake, akamwambia, Auawe kwa sababu gani? Amefanya nini? Tazama sura |