Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:28 - Swahili Revised Union Version

28 Naye Yonathani akamjibu Sauli, Daudi alitaka sana nimpe ruhusa aende Bethlehemu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yonathani akamjibu, “Alinisihi sana nimruhusu aende Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yonathani akamjibu, “Alinisihi sana nimruhusu aende Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yonathani akamjibu, “Alinisihi sana nimruhusu aende Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Yonathani akamjibu, “Daudi alinisihi sana nimpe ruhusa aende Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Yonathani akamjibu, “Daudi alinisihi sana nimpe ruhusa aende Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Naye Yonathani akamjibu Sauli, Daudi alitaka sana nimpe ruhusa aende Bethlehemu;

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku ya pili baada ya mwandamo wa mwezi, mahali pake palikuwa hapana mtu; basi Sauli akamwambia Yonathani mwanawe, Mbona mwana wa Yese haji kula chakula, jana wala leo?


akasema, Tafadhali nipe ruhusa niende; kwa maana jamaa yetu wana dhabihu mjini mwetu; na ndugu yangu ameniamuru niende; basi sasa, kama nimeona kibali machoni pako, nakuomba, niondoke; nikawatazame ndugu zangu. Ndiyo sababu hakuja mezani pa mfalme.


Baba yako akiona ya kuwa sipo basi sema, Daudi alitaka sana nimpe ruhusa, aende upesi Bethlehemu, mji wake, kwa maana iko huko dhabihu ya mwaka kwa ajili ya jamaa yake yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo