Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:11 - Swahili Revised Union Version

11 Yonathani akamwambia Daudi, Twende zetu nje mashambani. Wakatoka wote wawili, wakaenda mashambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yonathani akamwambia, “Njoo, twende shambani.” Basi wakaenda huko pamoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yonathani akamwambia, “Njoo, twende shambani.” Basi wakaenda huko pamoja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Yonathani akamwambia Daudi, Twende zetu nje mashambani. Wakatoka wote wawili, wakaenda mashambani.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwambia Yonathani, Ni nani atakayeniambia, ikiwa baba yako amekujibu maneno makali?


Naye Yonathani akamwambia Daudi, BWANA, Mungu wa Israeli, na awe shahidi; nitakapokuwa nimekwisha kumwuliza baba yangu, kama wakati huu kesho, au siku ya tatu, angalia, kama liko neno jema la kumfaa Daudi, je! Nisikupelekee habari na kukufunulia neno hili?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo