Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 18:24 - Swahili Revised Union Version

24 Na hao watumishi wa Sauli wakampasha habari, wakisema, Ndivyo hivyo alivyosema Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Wale watumishi walimweleza Shauli kama Daudi alivyosema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Wale watumishi walimweleza Shauli kama Daudi alivyosema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Wale watumishi walimweleza Shauli kama Daudi alivyosema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Watumishi wa Sauli walipomweleza vile Daudi alivyosema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Watumishi wa Sauli walipomweleza yale Daudi aliyoyasema,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Na hao watumishi wa Sauli wakampasha habari, wakisema, Ndivyo hivyo alivyosema Daudi.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 18:24
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wa Sauli wakanena maneno hayo masikioni mwa Daudi. Daudi akasema, Je! Ninyi mnaona kuwa ni shani mimi kuwa mkwewe mfalme, nami ni maskini, tena sina cheo?


Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yoyote, ila anataka govi mia moja za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo